SIMBA SC YAZINDUA ENEO MAALUM LA KUHIFADHI KUMBUKUMBU ZA TIMU
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi, CPA(T) Issa Masoud amezindua eneo maalum ndani ya Makumbusho ya Taifa ambapo kumbukumbu zote za klabu ya Simba SC zimewekwa rasmi.
Baada ya kuzindua eneo hilo ambalo kuna eneo maalum taarifa zote za klabu tangu ilivyoanzishwa mwaka 1936.
.
CPA(T) Masoud ametembezwa maeneo mbalimbali na Kaimu Mkurugenzi wa Wanachama, Mzee Khamis Kisiwa.
#JordanMediaupdates
Frank Jordan
12345
123
Tranding News
Newsletter
Subscribe to our newsletter to get the latest news

